JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


WITO KWA AJILI YA MKUTANO MKUU WA ZIADA

Share This
     
                     2015-09-28

Jumuiya ya Watanzania Sweden  
Mahali: Näsby Alle´6
183 55 Näsby Park
Siku: Jumamosi
Tarehe: 31-10-2015
Saa: 9:00 jioni
    
      Kwa watanzania tunatoa taarifa ya wito wa Mkutano Mkuu wa ziada kwa ajili ya kuchagua viongozi watakao chukua majukumu ya kuwaongoza watanzania waishio nchini Sweden, na kujenga uhusiano na taasisi mabali mbali na vyama vyengine viliopo nchi jirani.
     Uongozi wa kamati ya maandalizi ya Jumuiya ya Watanzania inawataarifu kwamba nafasi za uongozi huo ni kama zifuatazo;
 Uenyekiti
Unaibu
Ukatibu pamoja na bodi ya utawala wa chama.
  Tunawaomba watanzania wajutokeze kwa wingi katika mkutano huo ili tuweze kuboresha umoja wetu na kujenga maadili bora kwa watanzania, kujitolea kwenu ndio mafanikio ya taifa letu.

Asanteni
Kamati ya matayarisho

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad