Mwenyekiti
wa Basicneed Foundashon Tanzania, Prof. Joseph Mbatia akizungumza juu
ya kula vyakula vyenye lishe bora na kunywa maji ya kutosha kufanya
mazoezi ya viungo angalau mara tatu kwa wiki, (kujali
afya kila siku kujitambua na epuka vitu vinavyoathiri afya yako)
ikiwa ni siku ya pili ya muendelezo wa Tamasha la mtandao wa wanawake
na katiba na uchumi linaloendelea kufanyika ndani ya TGNP jijini Dar es
Salaam.
Mjumbe
wa TGNP Mtandao Rehema Mwateba akizungumza na wananchi juu ya kujipa
muda wa kutafakari maisha yako mara kwa mara na muda wa kulala uwe wa
kutosha wastani wa masaa 7 kwasiku ili kuchukuwa hatua madhubuti
kukabiliana na dalili za msongo wa mawazo ikiwa ni siku ya pili ya
muendelezo wa Tamasha la mtandao wa wanawake na katiba na uchumi
linaloendelea kufanyika ndani ya TGNP jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti
wa Basicneed Foundashon Tanzania, Prof.Joseph Mbatia akifafanua jambo
wakati wa Tamasha la mtandao wa wanawake na katiba na uchumi
linaloendelea kufanyika ndani ya TGNP jijini Dar es Salaam.
Wananchi
wakimsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa Basicneed Foundashon Tanzania,
Prof.Joseph Mbatia akifafanua jambo ikiwa ni siku ya pili ya muendelezo
wa Tamasha la mtandao wa wanawake na katiba na uchumi linaloendelea
kufanyika ndani ya TGNP jijini Dar es Salaam.
(Picha na Emmanue Massaka)
(Picha na Emmanue Massaka)
No comments:
Post a Comment