Mwenyekiti
wa kamati Maandalizi ya
Tamasha la Amani, Alex Msama amesema washiriki wa tamasha hilo ni waimbaji
mbalimbali wa injili kama Solomon Mkubwa, Rose Mhando, Upendo Nkone, Boniface Mwaitege, kwaya ya KKT ya Dar es Salaam pamoja na kwaya mojawapo kutoka
Iringa, amesema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo.
Kulia ni
Katibu mkuu wa makanisa ya Kipendekote Askofu, David Mwasota akizungumza kuhusiana na tamasha hilo kuwa
wananchi wakitokeze kwa wingi bila kujali itikadi zai za dini wala chama
ili kuombea uchaguzi mkuu uwe wa amani utakaofanyika Oktoba 4 mwaka huu.Mwenyekiti
wa kamati Maandalizi ya
Tamasha la Amani, Alex Msama
Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria mkutano huo.
No comments:
Post a Comment