JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


BANDA LA NSSF LAVUTIA WENGI MAONYESHO YA NANENANE

Share This
Meneja wa Mfuko wa PPF Kanda ya Kusini, Ndandavala akipewa maelezo na Ofisa Uhusiano  Muandamizi  Salim Kimaro alipotembelea Banda la NSSF kwenye maonyesho ya Nananane.
Afisa Uendeshaji Muandamizi Bi. Kabona Kandoro akitoa Maelezo ya faida mbambali kwa mmoja wa wakazi wa Lindi waliotembelea kwenye banda la NSSF.
Mmoja wa watu waliojitokeza katika banda la NSSF wakati wa maonyesho ya Nanenane mkoani Lindi.
Wakazi wa Mkoa wa Lindi wakipata maelezo kuhusu mafao yanayotolewa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) walipotembelea banda la NSSF kwenye Maonyesho ya Nanenane yanayofanyika kitaifa mkoani Lindi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad