Tuesday, July 31, 2012

dkt asha-rose migiro akutana na mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba jaji mstaafu joseph Warioba

Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Dkt.Asha-Rose Migiro (kushoto) akimsikiliza Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji  Mstaafu Joseph Warioba wakati Dkt. Migiro alipotembelea ofisi zaTume jijini Dar es Salaam leo (Julai 31, 2012). (Picha na Ismail Ngayonga).

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.