Tuesday, June 19, 2012

RAIS KIKWETE AAPISHA MWENYEKITI MPYA NA MAKAMISHNA WAPYA WA TUME YA USULUHISHI NA UAMUZI

 Mwenyekiti wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi Bw. Cornel Kananila Mtaki akila kiapo
  Kamishna Mary Cresent Massay akila kiap
 Kamishna Salma Abdi Chande akila kiapo
 Kamishna Evod Paul Mushi akila kiapo
 Kamishna Sauli Herbert Kinemela akila Kiapo
 Kamishna Yahya Kitambazi Msigwa akila kiapo
  Rais Kikwete akiwa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue na Naibu Waziri wa Kazi na Ajira Dkt Makongoro Mahanga (wa tatu kushoto) katika picha ya pamoja.

Rais Kikwete katika picha ya pamoja na Makamishna wapya wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi baada ya kuwaapisha.PICHA NA IKULU

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.