Friday, February 3, 2012

nani huyu,afu anawatakia ijumaa njema.!

Ni msanii wa muziki wa kizazi kipya na pia ni muigizaji wa filamu anayekuja kwa kasi hivi sasa.

Kuna Maoni 6 mpaka sasa.

kwa uzuri wake mmh Hallelujah sasa ajichunge kwani kaka zetu wale wasije kumpa Harrier na Ukimwi jamani

duh adobe photo wameikosea sana

Kumbe ni msanii wa bongo fleva, mi nilifikiri ni mwanamuziki kweli atiii?

Lol, mwanamuziki wa big G, unamungunya utamu ukiisha ndo basi tena umelaliwa. Imba taarab, muziki Wa dansi ndo tukujuwe kuwa wewe ni mwanamuziki Wa kweli. Fleva inawalostisha sana watu ule si muziki!