Mie nilijua Mtungo ni kwa Dar tu ,kumbe hata huku Arusha kitu mtungo ni kama kawa,tena unaambiwa hii mbona ndogo,kwa sababu watu wengu wamerudi makwao na wengine wako likizo,shughuli ngoja wenye mji warudi, na wafanyakazi wamalize likizo,Arusha panakuwa hapatoshi kabisa kwa mtungo.Picha hii nimeinasama mapema leo mchana (jina la barabara hii limenitoka kidogo,wakazi wa Arusha sio mbaya mkinipa taafu),nikiwa kwenye matembezi yangu ya hapa na pale ndani ya jiji la Arusha.











Kuna Maoni 0 mpaka sasa.
Post a Comment