Wednesday, December 29, 2010

joseph mbilinyi awashukuru wakazi wa mbeya.

Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi (MR II) akiwahutubia wananchi waliofika kwa wingi katika mkutano wake wa kuwashukuru jioni hii katika viwanja vya SIDO jijini Mbeya.Picha kwa hisani ya Rashid Mkwinda.

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.