Monday, December 27, 2010

DK Shein azungumza na Wizara ya Nchi OFISI YA RAIS

Rais wa Zanzibar na Mweyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Wizara ya nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na utawala Bora,Ikulu Mini Zanzibar,akiwa katika utaratibu wake wa kuzungumza na kila wizara.Picha na Ramadhan Othman, Ikulu.

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.