Sunday, November 28, 2010

zanzibar heroes yaichachafya sudan 2-0 michuano ya cecafa tusker challange cup

Ali Ahmed Salum Shibiri akishangilia baada ya kuipachikia bao la pili na la ushindi, timu yake ya Zanzibar Heroes, timu hiyo ilipomenyana na Timu ya Taifa ya Sudan,leo kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.
MCHEZAJI Elrayan Abdallah wa timu ya Taifa ya Sudan (kushoto) akipambana na Sabri Ramadhani Mzee wa timu ya taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes, wakati wa mechi hiyo.Picha kwa hisani ya Chachandu Daily

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.