Ofisa Uhusiano wa Tigo, Jackson Mmbando (kulia) akikabidhi zawadi ya hundi ya shs milioni 10 kwa mshindi wa jumla wa promosheni ya Dunia ya Washindi, Farijala Athumani Iddi mkazi wa Singida, katika makabidhiano yaliyofanyika jijini Dar es Salaam leo. Katikati ni Meneja Miradi wa Huduma za Ziada (VAS) wa Tigo, Suleiman Bushagama.











Kuna Maoni 0 mpaka sasa.
Post a Comment