Monday, November 29, 2010

rais kikwete afanya kikao cha kwanza na baraza lake jipya la mawaziri ikulu leo

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikutana kwa mara ya kwanza na baraza lake jipya la mawaziri ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi(picha na Freddy Maro)

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.