Sunday, November 28, 2010

OFF SIDE KUZINDULIWA CONGO DRC

OFF SIDE


Filamu ambayo inasubiriwa kwa hamu kuingia katika soko la filamu Tanzania, ikiwa inaigizwa na wasanii mashuhuri wa hapa nchini Steven Kanumba, Vicent Kigosi na Irene Uwoya itazinduliwa kwa mara ya kwanza Congo.

Ikiwa inasambazwa na Steps Entertainment, hii inaonekana kwamba wasamabzaji hawa wanajribu kupanua soko kwa kuweza kushirikisha wadau wengi katika filamu. Kuvuka mipaka ni hatua kubwa katika Tasnia ya filamu Tanzania.

Steven, Vicent na Irene wataelekea huko wakiambatana na wasamabzaji wao na utafinyika uzinduzi mkubwa na wa mara ya kwanza kutokea katika Tasnia ya filamu Tanzania. Steven na Vicent wanaandika historia Tena.Congo kaeni mkao wa kula, Filamu hilo linakuja
OFF SIDE

OFF SIDE

Zaidi Bofya Hapa upate mambo mbalimbali yahusuyo Filamu

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.