Sunday, November 28, 2010

DIAMOND AFANYA MAKAMUZI YA MWISHO COVENTRY

Diamond akiimba kwa hisia moja ya nyimbo zake.
Diamond akiwarusha vilivyo washabiki wake

DIAMOND afanya makamuzi yake ya mwisho UK kwenye jiji la Coventry Katika nyanda za Midlands. Shoo hiyo ambayo ni part ya Urban Tour iloyofanyika katika miji tofauti ya UK , Urban Tour imeandaliwa kusaidia vita dhidi ya Malaria. Urban Tour iliandaliwa na kampuni inayo milikiwa na Baraka Baraka, Frank Eyenbe na Nocha Sebe ambao ni vijana Wakitanzania waishio UK inajulikana kama URBAN PULSE CREATIVE MEDIA..

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.