Sunday, October 31, 2010

waziri mkuu pinda apiga kura kijijini kwake.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipiga kura kwenye kituo cha uchaguzi kijijini kwake, Kibaoni, Katavi mapema leo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Mke wa Waziri Mkuu. MamaTunu Pinda akipiga kura kwenye kituo cha Uchaguzi kijijini Kibaoni, Katavi, mapema leo. (Picha na Ofisi ya WAziri Mkuu).

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.