Sunday, October 31, 2010
Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilbroad Slaa akipiga kura katika kituo cha Gongali kilichopo katika kata ya Qurus wilayani Karatu mkoani Arusha mapema leo asubuhi.
Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilbroad Slaa akipata maelezo kutoka kwa wasimamizi wa kituo cha kupigia kura cha Gongali wilayani Karatu leo.
Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk Wilbroad Slaa akiwa na Mkewe Josephine,wakati wakisalimiana na wanachi wa eneo hilo mara baada ya kumaliza kupiga kura leo asubuhi.
Kuna Maoni 0 mpaka sasa.
Post a Comment