Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na waandishi wa Habari mara baada ya kupiga kura kuchaguwa Rais, Mbunge na Diwani katika kituo cha kupiga kura Oysterbay jijini Dar es salaam leo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa kwenye chumba cha siri kwa ajili ya kupiga kura ya kuchaguwa Rais, Mbunge na Diwani katika kituo cha kupiga kura Oysterbay jijini Dar es salaam leo.













Kuna Maoni 0 mpaka sasa.
Post a Comment