
Mgombea Mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akionyesha vidole vyake vikiwa na wino baada ya kutoka katika chumba cha kupigia kura kwenye Kituo cha Kiembe Samaki leo.

Mgombea Mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutoka katika chumba cha kupigia kura katika kituo cha Kiembe Samaki mjini Zanzibar leo.

Mohamed Said Abdul, mkazi wa Kiembe Samaki Zanzibar, akielekezwa kutumbukiza karatasi yake ya kura katika boksi katika Kituo cha Uchaguzi cha Kiembe Samaki leo.

Mgombea mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akisalimiana na mwananchi mkazi wa Kiembe Samaki, Mohamed Said Abdul, ambaye ni mlemavu wa macho aliyesindikiza katika kituo hicho cha Uchaguzi cha Kiembe Samaki kutimiza haki yake ya msingi ya kupiga kura leo

Mgombe mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akitumbukiza karatasi ya kupigia kura wakati alipofika katika kituo cha uchaguzi cha Kiembe Samaki mjini Zanzibar mapema leo asubuhi.Picha na Muhidin Sufiani.
Hoja moja imeshachangiwa mpaka sasa.
jamani huyu gharibu ana sura mbaya kama mavi walikosa mtu mwingine zaidi ya hili babu lenye sura ka sokwe?
Post a Comment