Thursday, September 30, 2010

mashabiki wa simba wapata ajali.




Baadhi ya mashabiki wa timu ya Simba wakiwa wamesurika na ajali iliyotokea jana maeneo ya Kibaha -Tanita wakati wakielekea mjini morogoro kwenye mpambano wa timu ya Simba na Mtibwa,mara baada ya basi lao kupinduka na kupelekea mtu mmoja kupoteza maisha.Picha kwa hisani ya Shafii Dauda wa Sports Bar ya Clouds TV.

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.