Thursday, September 30, 2010

jk akiendeleza kampeni zake uyowa,urambo leo.

Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia mkutano wa kampeni Uyowa Wilayani Urambo leo
Wananchi wa Uyowa wakishangilia huku wakiwa wamepunga mikono hewani wakati wakifuatilia hotuba ya Mheshimiwa Kikwete kwenye mkutano wa kampeni Uyowa mjini Urambo.

Umati mkubwa wa watu wakimshangilia Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akiingia Uyowa, Ulyankulu Wilayani Urambo.

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.