
Mgombea Mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akimvisha kofia yake Katibu wa Shina la Wakereketwa la Wajasiliamali la wauza Samaki na Dagaa, baada ya kuzindua shina hilo lililopo mtaa wa Karume Sumbawanga mjini leo.

Mgombea Mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akifunua kitambaa kuashiria kuzindua rasmi Tawi la Shina la Wakereketwa la Wajasiliamali la wauza Samaki na Dagaa, baada ya kuzindua shina hilo lililopo mtaa wa Karume Sumbawanga mjini leo .

Mgombea Mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal na mkewe Zakia Bilal, wakiinua mikono kuwasalimia wananchi wa Kijiji cha Ilembo Wilaya ya Mbeya Vijijini, wakati walipowasili kijijini hapo juzi Sept 28 kufanya mkutano wa kampeni.
Kuna Maoni 0 mpaka sasa.
Post a Comment