
Rais wa Shirikisho la Soka nchini (TFF) Leodgar Tenga (Katikati) akitoa nasaha zake kwa wachezaji wa timu ya Taifa 'Taifa Stars' hawapo pichani wakati akiwaaga, ambapo kesho wataondoka nchini kwenda Algeria kuanza Kampeni ya kufuzu kwa fainali za Mataifa ya Afrika (CAN).Mechi hiyo itafanyika Septemba 5.kwa habari zaidi ingia ndani ya
Bongoweekend
Kuna Maoni 0 mpaka sasa.
Post a Comment