Tuesday, July 27, 2010

Breeking neewwwz:darajani zanzibar kwateketea kwa moto mchana huu

Moto huo umetokea darajani pembeni kidogo ya Stendi ya dala dala
Stori zaidi mpaka wapatikane wahusika waweze kulizungumzia hili swala.
Wakazzi wakijaribu kuokoa baadhi ya vitu

Kikozi cha zima moto kazini
baadhi ya vitu vilivyokuwa vikiokolewa
Moto ulikuwa umetanda kila sehemu.


Wakazi wa eneo hilo wakisaidia kutoa vitu nje kuepuka athari za maoto huo ulkiozuka mchana huu.

Uzimaji moto huo ambao chanzo chake bado hakijajulikana ukiendelea kuzimwa
Baadhi ya maduka yaliyotekea
Kikosi cha zima moto pamoja polisi wa usalama wamekwisha eneo la tukio, na kazi ya uzimaji moto huo unaendelea mchana,chanzo cha moto huo bado hakijajulikana
Bomba la maji la zimamoto wakijipanga kupambana na moto huo

Maduka mamwili yameteketea kwa moto likiwemo lile ambalo moto umeanzia na mgahawa mmoja pamoja na maduka matano ya jirani na moto huo yaliathirika kwa kiasi kikubwa,Angalau wahusika wa maduka hayo wamefanikiwa kuokoa mali zote na mengine zaidi ya saba nao wamewahi kutoa mali zao nje kwa kujihami na moto huo,ambao kikosi cha zima moto kiliwasili kupambana moto huo ambao chanzo chake hakijajulikana mpaka sasa.Picha kwa hisani ya Dr Boha wa COCONUT FM,Zanzibar.

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.