
Siku ya leo Tanzania ilipambazuka vibaya. Mtandao
wako uupendao
ulikuwa na ujumbe kuwa UKO KWENYE MATENGENEZO. Hilo
halikuwa tangazo rasmi, bali ilikuwa ni ishara kuwa kuna matatizo ya
kiufundi, ambayo tunasikitika kusema yalikuwa nje ya uwezo wetu na
yamechukua muda mrefu kuliko tulivyotarajia. Hata hivyo, baada
ya jitihada kali kufanyika za kurekebisha hali hiyo, hatimaye
tumerudi tena hewani na tunaendelea kukuhabarisha
yote yanayojiri Bongo.
Tunawashukuru kwa uvumilivu wenu, tunawaomba radhi
kwa usumbufu mkubwa mlioupata. Hatuna la kusema,
zaidi ya kuwaomba radhi na kuwapa kile mlichokikosa
kwa muda huo!
Asanteni sana
WEB MASTER
GPL.
wako uupendao
ulikuwa na ujumbe kuwa UKO KWENYE MATENGENEZO. Hilo
halikuwa tangazo rasmi, bali ilikuwa ni ishara kuwa kuna matatizo ya
kiufundi, ambayo tunasikitika kusema yalikuwa nje ya uwezo wetu na
yamechukua muda mrefu kuliko tulivyotarajia. Hata hivyo, baada
ya jitihada kali kufanyika za kurekebisha hali hiyo, hatimaye
tumerudi tena hewani na tunaendelea kukuhabarisha
yote yanayojiri Bongo.
Tunawashukuru kwa uvumilivu wenu, tunawaomba radhi
kwa usumbufu mkubwa mlioupata. Hatuna la kusema,
zaidi ya kuwaomba radhi na kuwapa kile mlichokikosa
kwa muda huo!
Asanteni sana
WEB MASTER
GPL.












Kuna Maoni 0 mpaka sasa.
Post a Comment