Sunday, June 27, 2010

timu ya ghana ilivyowapa raha waafrika wenzao ulimwenguni jana

Shabiki wa Ghana akifanya vitu vyake
Mpaka Ndinga zilipakwa bendera ya Ghana
Furaha kwa kila mtu

Shangwe na Nderemo kila Kona
Hongera Ghana
Go Go Ghana
Kila mtu akikuwa akisherekea kwa staili
Washabiki wakumwaga
Washabiki wa Ghana wakirusha Nyuki za Nguvu
Tottenham London kulikuwa hakutoshi
Taswira ya Tottenham jana usiku saa sita usiku


Salam kaka,

Kwa mara nyingine tunapenda kuwaletea wadau wote wa libeneke yaliojiri hapa ukerewe katika kitongoji jana usiku cha Mji Tottenham kususiana na ushindi wa Ghana.

Washibiki wote wa mpira walikusanyika pamoja na kusherekea ushindi wa Ghana kwa staili ya kipekee.

Haya ndio mambo ya Waghana na wadau wa mataifa mengine wakisheherekea na kurusha nyuki kushangilia ushindi wa timu yas taifa ya Ghana THE BLACKSTARS dhidi ya timu ya Marekani kwa Obama.

Bofya link chini kuangalia video.


Habari ndio hiyo

Mungu Ibariki Africa,

Urban Pulse Production

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.