Monday, June 28, 2010

miss temeke 2010 wajifua vilivyo,kinara wao kujulikana july 9 tcc chang'ombe

Pichani ni Washiriki wa Miss Temeke ambao nao walipewa nafasi ya kujinadi mbele ya wageni waalikwa waliofika kwenye shindano la Redds Miss Ilala lililofanyika mwishoni mwa wiki pale Ubungo Plaza.Shindano la kumsaka mlimbwende atakayelinyakua taji la Miss Temeke 2010 linalotarajia kufanyika pale TCC Sigara Chang'ombe Julai 9/ 2010, ambapo burudani itatolewa na kijana mahiri katika muziki wa bongofleva Banana Zorro na bendi yake ya B. Band.

Hoja moja imeshachangiwa mpaka sasa.

Please don't mind me, I am commenting here just to track how may MISS events are happening in Bongolala!!!!