
Pichani ni tatu bora ya Miss Estern Zone 2010 wakiwa katika pozi,. Kushoto ni mshindi wa pili kutoka Lindi,Mary Adam na kati ni mshindi wa kwanza aliyenyakua taji la shindano hilo Flora Florence akitokea Morogoro na mshindi wa tatu ni Cecilia Paul kutoka Morogoro.

Washiriki wa shindano la Miss Estern Zone 2010 wakiwa kwenye shoo yao ya ufunguzi,shindano hilo limefanyika mwishoni mwa wiki mjini Lindi,ambapo mshiriki kutoka Morogoro aitwaye Flora Florence alilinyakua taji la shindano hilo.
Kuna Maoni 0 mpaka sasa.
Post a Comment