Tuesday, June 29, 2010

Balozi wa Uganda na India wakutana na Rais karume

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Amani Abeid Karume,akizungumza na Balozi wa Uganda nchini Tanzania,Ibrahim Mukiibi,aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar leo kuonana na Rais.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Amani Abeid Karume,akisalimiana na Balozi wa Ugana nchini Tanzania,Ibrahim Mukiibi,aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar leo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Amani Abeid Karume,akisalimiana na Balozi Mdogo wa India anyeishi Zanzibar,Rajender Prakash alipokuja kuaga kwa kumaliza muda wake wa kazi Nchini.

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.