Monday, May 31, 2010

shukurani za dhati kutoka kwa wana wa filamu ya lovely gamble


CEO FRANK EYEMBE na Managing Director BARAKA BARAKA wa URBAN PULSE

SHUKURANI £OVELY GAMBLE

Tawala,viongozi na wafanyakazi wa African Star,Afro Euro Events Management, Buzzie Production, Manamba Studio na Urban Pulse. Wanatoa shukurani zao za dhati kwa Watanzania wote waliojitokeza usiku wa jana 29/05/2010 kwenye onyesho maalum la ‘£OVELY GAMBLE’ kuchangia watoto wanaoishi na vijirusi vya UKIMWI nyumbani Tanzania. Watoto hawa wanaangaliwa na TANZANIA MITINDO HOUSE.

Hakika ya kweli mmeoonyesha umoja ambao tunauthamini na hatuto usahahu.
Vilevile tungependa kuwatambua watu wafuatao, ambao kwa njia moja ama ingine wmesaidia sana kufanikisha Onyesho hili maalum

UBALOZI WA TANZANIA (mama Balozi na Maafisa wote wa Ubalozi)
TANZANIA ASSOCIATION zote Kitaifa na matawi ya Reading, Birmingham na Soctland
BONGO FLAVOUR (Dixon na Flora)
TMH (Khadija Mwanamboka)
SWIFT FREIGHT (Abu Faraji)

SWAHILI TRAVEL AGENCY (Tino)
VINCENT BAR (Kalinga na Gado)

MAMA MAYOR (Mariam Nice)

NOCHA SEBE

MISS YVONNE
WITENGERE KITOJO

TEGEME CHAMPANDA

FRANCIA CHENGULA

FREDDY MACHA

AYOUB MZEE

RASHIDI KAWAWA

ALLY MUHIDINI



GLOBA PUBLISHER (Abdalah Mrisho)

BONGOSTARLINK (Dj Choka)

JIACHIE (Ahmad Michuzi)

KULIKONI UGHAIBUNI ( Evearest Chahali)
MICHUZI (Ankal Issa Michuzi)

MISS JESTINA GEORGE (Tina George)

FASHION 8020 (Shamim Mwasha)

NURU THE LIGHT (Nuru)


Vyombo hivi na Watanzania hawa wamekuwa mstari wa mbele katika kufanikisha Onyesho hili maaaluma la mchango wa kihiyari. Mungu awaongezee na tuendeleze umoja huu. MUNGU

IBARIKI TANZANIA MUNGU WABARIKI WATANZANIA

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.