Monday, May 31, 2010

makiri makiri wazuru ndani ya rock city

Mmoja wa wasanii wa kundi la Makiri Kiri akiwa katika pozi jana mchana ndani ya uwanja wa CCM Kirumba mara baada ya kumaliza onyesho lao
Wasanii wa kundi la Makiri kiri kutoka Botwasan wakiwatumbuiza baadhi ya wakazi wa jiji la Mwanza jana mchana kwenye uwanja wa CCM Kirumba,Kundi hilo muziki wa kiasili liko nchini kwa ziara ya maonyesho kadhaa.

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.