Thursday, April 29, 2010

mdau karibu jamvini na libeneke jipya


Mambo Michuzi Jr

Nimefungua blog yangu mpya inaitwa

http://life-in-dar.com/

Blog inahusu masuala yanayotokea Dar kila siku. Hasahasa blog hii inalenga kuwasaidia wageni wanaokuja Tanzania/Dar ili waweze kupata info za wapi wanaweza kupata huduma mbalimbali.

Nitashukuru sana kama utanisaidia kuitangaza kwa wadau wako wa blog ya michuzi jr.

Asante,

Kai

Hoja moja imeshachangiwa mpaka sasa.

Asante sana kwa kunikaribisha jamvini Michuzi Jr. Tupo pamoja...