
Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Amani Abeid karume,akifungua pazia kama ishara ya uwekaji wa jiwe la msingi ujenzi wa Madarasa mapya ya skuli ya Kengeja Mkoa wa Kusini Pemba.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DkAmani Abeid Karume akisalimiana na wazee wa Kengeja wakati alipofika katika viwanja vya skuli ya kijiji hicho kwa madhumuni ya uwekaji wa jiwe la msngi pamoja na uzinduzi wa madarasa mapya leo

Wanafunzi wa skuli ya kengeja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Amani Abeid Karume alipokuwa akizungumza nao huko katika viwanja vya skuli ya kengeja mapema leo.Picha kwa hisani ya Ramadhan Othman Pemba.
Kuna Maoni 0 mpaka sasa.
Post a Comment