Tuesday, March 30, 2010

maadhimisho ya upandaji miti kitaifa kufanyika shinyanga


Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. EzekielMaige akipanda mti katika Shule ya Sekondari ya Town iliyoko mjiniShinyanga,wakati wa sherehe za kuadhimisha Siku ya Taifa ya kupanda Miti nchini ambayo kitaifa inafanyika mkoani Shinyanga, aliyeshika koleo ni Mkurugenzi wa Idara ya Misitu na Nyuki Dkt. Felician Kilahama na anaeangalia ni mwalimu mkuu wa shule hiyo bw. Fabian Stanslaus .Siku hiyo huadhimishwa nchini Aprili Mosi ya Kila mwaka.

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.