Wadau wakiserebuka baada ya kula na kunywa usiku huu kwenye hafla fupi ya kuzaliwa ya Da' Foibe iliofanyika Mikocheni jijini Dar usiku huu na kuhudhuriwa na watu mbalimbali
Mdau wa Mtaa kwa Mtaa (kijani) akitoa neno la shukurani kwa kualikwa kwenye mnuso huo wa kiana
Da' Foibe ambaye anazaliwa leo akitimiza miaka yake 26, akikata keki huku akiimbiwa ule wimbo maarufu kabisa ambao huwa ni maalumu kwa shughuli kama hii
Da'Foibe akiwa ameketi na wageni waalikwa kwenye sherehe yake ya kuzaliwa usiku huu,Foibe amekiri kuwa anatimiza miaka yake 26,Kwa hilo anamshukuru Mungu na anamuomba zaidi amuongezee afya njema ili miaka yake iongezeke ana asherehekee tena siku yake ya kuzaliwa miaka kadhaa ijayo
"Mmmh..! hiki kilevi chake sio kikali wang"! Wamiminie hivyo hivyo wachangamke
Mdau akininimininia kinywaji,da nakiona kama kiko safi hivi kwa kuchangamsha mwili,ng0ja nijaribu kunywa nione utamu wake ukoje

















Kuna Maoni 0 mpaka sasa.
Post a Comment