Rais Kikwete akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam juzi katika Uwanja wa Ndege wa Kimatifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere mara baada ya kuwasili kutoka nje ya nchi ambapo alikuwa katika ziara ya kikazi Mashariki ya Kati. Mwingine katika Picha ni Kingunge Ngombale Mwiru.
Friday, February 26, 2010
rais kikwete arejea dar
Friday, February 26, 2010
Maoni: 0












Kuna Maoni 0 mpaka sasa.
Post a Comment