Vichwa mahiri vya Mjengoni "Clouds Fm", toka shoto ni mtangazaji wa kipindi cha michezo Sports Extra na pia ni mchambuzi wa masuala mbalimbali ya michezo Shafii Dauda,kati ni mtangazaji wa kipindi cha Jahazi akiwa sambamba na swahiba wake Gadna G Habash,Ephrahim Kibonde pamoja na Dj wa kitambo Dj Venture ambaye pia hukamua mangoma pale Mzalendo Pub.Pichani walikuwa wakijaribu kubadilishana mawazo kuhusiana na gemu ya jana kati ya Chelsea na Inter Milan











Kuna Maoni 0 mpaka sasa.
Post a Comment