Sunday, January 31, 2010

mhanjo wa pili wa leo kiwikend wikend










Baada ya kuburudika Lidaz Club nikatia timu sehemu ya michezo mbalimbali katika viwanja vya Tanganyika Pekaz,nako kila jumapili huwa kunachangamka sana,kunakuwepo na michezo kibao kama uonavyo pichani,wikend inakwisha safi kabisa.

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.