Sunday, January 31, 2010

kumbe huwa pananoga hivi


Leo jioni nilipita Lidaz Club Kinondoni jijini Dar kujionea yanayojiri pale,kila jumapili kunakuwepo na bonanza la muziki,bendi ya muziki wa dansi ya African Stars a.k.a Twanga Pepeta ikitumbuiza jukwaani huku wapenzi wa bonanza hilo wakiburudika safi kabisa,offcoz kumbe panakuwa pananoga vile ebwanaee ,basi ntakuwa never miss kimtindo

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.