Ulishaona Gari yenye matege wewe ??!

Monday, July 6, 2009

Mdau,Bro Willy wa Wil'na Interanational kanitumia picha za gari hii ambayo kiukweli lingekuwe kwenye barabara zetu za kibogo lisingefua dafu au mnasemaje wadau.
 
Muandishi: MICHUZI JR Tarehe: Monday, July 06, 2009 | | Permalink |

Maoni: 2

  Tarehe July 7, 2009 9:34 AM Anonymous Anonymous Anasema:
Hiyo inaitwa " Low rider". Ni mambo ya "hydrolics"...Inaweza kupanda na kushuka kwa kubonyeza swichi tu..Bongo inaendesheka kwa kuswichi iwe juu juu!Ikiwa barabara fresh unaswichi chini chini..
  Tarehe July 10, 2009 12:38 AM Anonymous Anonymous Anasema:
mmbado!


Idadi ya watu