kiwanja cha kujiachia kimtindozzz!
Saturday, July 18, 2009
Maoni: 4
« Rudi Mwanzo | Post a Comment
Copyright na Zanzibar safri club kule Zenji, nilikuwa pale kwa ajili ya hanimuni yangu, pako fresh, usiku mnawekewa candle light dinner hapo katikati! inapendeza sana!
Inapendeza zaidi when hurricane ikitokea na kuwasombelea mbali.Jamani majanga mengine ni ya kujitakia hivyo vijiti kweli kuna usalama?
Zamani Kempiski, Kiwengwa Zanzibar pia wanayo tene toka kitambo, wanaita jet club ni nzuri sana.
Uchafuzi wa mazingira ya Bahari




