tatiana aweka wazi yuko singo

Wednesday, April 23, 2008

Tatiana akifikiria kujibu swali aliloulizwa na msikilizaji wa redio ya clouds fm muda mchache uliopita.

Tatiana akitabasamu baada ya kupigwa swali na mtangazaji wa Clouds fm,Reuben a.k.a Mzeiya kuwa je ameolewa na bibie huyo akajibu kavu kavu kuwa bado hajaolewa na yuko singo

Tatiana akisikiliza swali kwa makini kutoka kwa msikilizaji,ambaye amekiri wazi kuwa yuko singo mpaka sasa, kwa hiyo wenye kujaribu bahati yao basi milango kwake iko wazi

Mshindi wa Big Brother Afrika II wa mwaka jana Tatiana Durao akiwa ndani ya studio za Clouds Fm 88.4 sasa hivi kupitia kipindi cha Jahazi kinachoongozwa na Kapt G Habash,ambapo leo alikuwepo mtangazaji mwingine Anord Kayanda kwa niaba,Tatiana ameambatana na walimbwende wengine akiwemo Irene Kiwia na Nancy Sumary
 
Muandishi: MICHUZI JR Tarehe: Wednesday, April 23, 2008 | | Permalink |

Maoni: 14

  Tarehe April 23, 2008 6:24 PM Anonymous Anonymous Anasema:
mbona hilo begi kalikumbatia namna hiyo au hawaaminai wabono?
  Tarehe April 23, 2008 7:32 PM Anonymous Anonymous Anasema:
Hapo umewapa mwanya mafisadi wa Bongo mahali pa kumwaga hela zetu za EPA, RICHMOND, MEREMETA, VIJISENTI na nyinginezo ambazo tutazijua baadae. Wabongo kwa kupenda umaarufu tu! Nyie subirini mtaniambia!
  Tarehe April 23, 2008 10:30 PM Anonymous Anonymous Anasema:
MIMI HICHO TU NDIO WANACHONIUDHI WABONGO, MBONA HUYU DEM NI WA KAWAIDA TUUUUU!!! WATU WANAMPANDISHA CHATI UTADHANI MALAIKA!!! HATA KAMA YUKO SINGLE .. AND THEN WHAT?????? IDIOTS
  Tarehe April 23, 2008 11:06 PM Anonymous Anonymous Anasema:
Huyu Dem ni mzee, mbona sura yake ngumu hivi!!!! kikongwe
  Tarehe April 24, 2008 1:19 PM Anonymous Anonymous Anasema:
in maana G habash ung'eng'e haupandi, mbona walimbadilisha? hehe he he , shule ni muhimu sana. utaruka ruka na form 4, mwishoni unagonga ukuta...ndiii.
  Tarehe April 24, 2008 1:35 PM Anonymous Anonymous Anasema:
huyo ni mzee au kijana ?mbona sura !!au karamba ndimu?
  Tarehe April 24, 2008 2:39 PM Anonymous Anonymous Anasema:
naomba contact zake pls nijaribu bahati yangu au mpe ya kwangu martjons@gmail.com
  Tarehe April 24, 2008 5:09 PM Anonymous Anonymous Anasema:
wabongo wasiojua ung'eng'e utawajua tu hako ka sista-do ka katikati picha ya chini cheki kanavyojitahidi kujielezea na mikono yai halipandi hapo kwa nini hamuendi shule??
  Tarehe April 24, 2008 7:35 PM Anonymous Anonymous Anasema:
Dogo unajifanya nunda sio!!!! Najua ujumbe wangu umeupata hata kama umebana maoni yangu.Narudia tena Tatiana ni mshindi wa pili BB II mwaka janaaaaaaaaa....... Badilisha kauli yako!Bna na hii, lakini ujumbe umfika na usipotoa hii nitakuja kukumwagia tindikali!!!!a.k.a kukubenea.
  Tarehe April 24, 2008 8:35 PM Anonymous Anonymous Anasema:
We anonymous hapo juu unauliza jibu? Huoni begi limefunika nanihiino? Anaogopa kuachama. Asije wamulika maana nanyi hamna dogo kama mkiona. Mtaanza kumtolea comments bure. mambo ya vimini babu weeeeee
  Tarehe April 24, 2008 11:18 PM Anonymous Anonymous Anasema:
kamayupo single mpe email atoe email nataka kucontact nae mdau
  Tarehe April 25, 2008 11:09 AM Anonymous Anonymous Anasema:
Gadna yai halipandi simtu wa tanga yule maneno mengi lakini swala likija hapo mhh..wapi mr chris na bobby
  Tarehe April 25, 2008 2:30 PM Anonymous Anonymous Anasema:
Nancy Sumari hiyo style ya nywele sio kama kivile bwana hiyo haikupendizi kabisaa msemakweli ni mpenzi wa Mungu pleaseeeeeeee bora urudie na nywele za bandia utakuwa kivileeeeeeeeeeeeeeee coz kichwa hicho mmh kinatakiwa kuwa na nywele nyingi na si fupi.

michuzi halafu unibanie na hii.
  Tarehe April 30, 2008 3:39 PM Anonymous Anonymous Anasema:
You got style my girl you RICH IN HUMANITY, SINCERITY, KINDNESS AND YOU HAVE A HUGE HEART.......

YOU ARE OUR ****WINNER********

BIG UP TANZANIA FOR TREATING OUR TATIANA SO WELL......


Idadi ya watu